KIONGOZI NI NANI?


Neno "kiongozi" linaweza kutafasiriwa kwa namna mbalimbali" 

Maana mojawapo ya neno kiongozi kwa mujibu wa Biblia, Kiongozi ni mtu mwenye mbinu au mikakati ya kufanikisha jambo fulani (Matendo ya mitume 1:16)

Yuda Iskariote aliwaongoza watu kumkamata Yesu.

Una mikakati au mbinu za kufanikisha jambo fulani? kama ndio unayo mikakati au mbinu basi wewe ni kiongozi, una sifa za kuwa kiongozi.

 

Chapisha Maoni

0 Maoni