MBINU RAHISI YA KUJIFUNZA SOMO LA MAOMBI

 

Mbinu rahisi ya kukusaidia kujifunza somo la maombi, chukua Biblia kisha soma simulizi za maombi ya watu mbalimbali yaliyoandikwa kwenye Biblia.

Baadhi ya simulizi za maombi ni hizi zifuatazo:-

✓Maombi ya Hana (1 Samweli 1:9-20)

✓ Maombi ya Yabesi (1 Mambo ya Nyakati 4:9-10)

✓Maombi ya Mfalme Yehoshafati (2 Mambo ya Nyakati 20:1-29)

✓Maombi ya Mfalme Hezekia (2 Wafalme 20:1-7)

Katika simulizi hizo utajifunza mambo mengi kuhusu maombi.

Chapisha Maoni

0 Maoni