KUJUA NJIA ZA MUNGU


 Jambo mojawapo lilimsaidia Zakayo mtoza ushuru kumwona Yesu na kupata wokovu ni KUJUA NJIA ATAKAYOPITIA YESU (Luka 19:4)

IKO HIVI: Usipojua njia ambazo Mungu hupitia au hutumia kufanya mambo mbalimbali huwezi kunufaika na mambo ya kiungu.

Ikiwa unataka kuzijua njia za Mungu (Isaya 55:8)

1. Omba kama Musa alivyoomba, soma (Kutoka 33:13)

2. Waulize watu wanaozijua njia za Mungu - watumishi wa Mungu (Yeremia 6:16)

3. Jifunze njia za Mungu kwenye Biblia.

Chapisha Maoni

0 Maoni