1. Kutenda mema ni kupanda mbegu ambayo itakuzalia matunda mbalimbali (Wagalatia 6:9).
2. Kutenda mema ni sadaka mojawapo inayompendeza Mungu (Waebrania 23:16).
3. Kutenda mema ni mbinu mojawapo ya kuziba vinywa vya watu wapumbavu (1 Petro 2:15).
4. Kutenda mema ni silaha mojawapo ya kukabiliana na maadui zako (Warumi 12:19-21).
5. Kutenda mema ni kushiriki tabia ya Mungu (Luka 6:35).
BAADHI YA FAIDA ZA KUTENDA MEMA
1. Utavuna ulichopanda.
2. Sababu mojawapo iliyopelekea Dorcasi akafufuliwa ni Matendo yake mema (kuwashonea wajane nguo) Matendo ya Mitume 9:36:41.
✍️Kama kutenda mema sio kipaumbele chako, basi ANZA SASA.

0 Maoni