KUPIGANA NA KUPIGANIWA


 Kuna wakati Mungu anakufundisha jinsi ya kupigana (Zaburi 18:34) ili upigane pia kuna wakati Mungu anakupigania (Kutoka 14:14) hautaji kupigana. 

Wakati wa kupigana usisubiri KUPIGANIWA.

Wakati wa kupiganiwa usijaribu KUPIGANA.

Ukiona Mungu anakufundisha kupigana ujue kuna vita mbele yako au ni wakati ambao unapaswa kupigana.

Ukiona Mungu hakufundishi kupigana ujue anakupigania au atakupigania.

WAKATI

Chapisha Maoni

0 Maoni